John 2:12
Yesu Atakasa Hekalu
(
Mathayo 21:12-13
;
Marko 11:15-17
;
Luka 19:45-46
)
12
Baada ya hayo, Yesu pamoja na mama yake, ndugu zake na wanafunzi wake, walishuka mpaka Kapernaumu, wakakaa huko siku chache.
Copyright information for
SwhNEN